- Gladys Wanga alisema hii leo ni siku muhimu ya kusherekea siku ya wanawake duniani na hangeweza kufika katika afisi za NCIC
- Wanga anakashifiwa kwa kuchochea katika chaguzi za hivi punde za maeneo bunge ya Matungu na Kabuchai
- Hata hivyo amesema yuko tayari kufika mbele ya tume hiyo wakati wowote lakini sio hii siku
Mwakilishi wa wanawake kaunti ya Homabay Gladys Wanga amekaidi amri ya kufika mbele ya tume ya Uwiano na Utangamana wa Kitaifa, NCIC,
- Binti wa umri mdogo alishutumiwa kwa kulala na Raila Odinga Zanzibara amezungumza
- Binti huyo alikana madai hayo katika mitandao ya kujamii aliposhambuliwa na wananchi
- Alizungumza na TUKO.co.ke na kueleza kilichotokea usiku huo
Sasha Seraphine Mbote alisababisha malumbano makubwa katika mitandao ya kijamii baada ya picha kutokea mtandaoni akiwa na kinara wa NASA Raila Odinga Zanzibar siku chache baada ya Mahakama ya Juu kubatilisha ushindi wa Uhuru Kenyatta Septemba 1.
Following the re-structuring and re-branding of its existing consumer outreach programmes, the Nigerian Communications Commission (NCC) has held the maiden edition of the Campus Conversation at the University of Abuja. Campus Conversation is featured as an important part of NCC’s new Telecom Consumer Conversation (TCC).
Speaking at the event, which held at the Main Campus of the University of Abuja at the weekend, NCC’s Director, Consumer Affairs Bureau, Efosa Idehen, said the Commission, as a consumer-centric regulator, has always been at the forefront of protecting the interest of the consumers.
A chieftain of the All Progressives Congress (APC), Garus Gololo, has threatened to sue the Senate President, Godswill Akpabio over what he called the illegal suspension’ of senator Abdul Ningi. Galolo insisted that the people from the Bauchi senatorial district would not take the suspension of their senator lightly, adding that they might head to court to seek redress.
The APC stalwart stated this while addressing newsmen during an interview.
- Raila aliwataka wapiga kura kukula pesa za Mariga lakini wapigie Imran debe
- Uchaguzi huo ni tishio kwa maisha ya kisiasa ya kiongozi huyo wa ODM,
- Itakuwa pigo kubwa iwapo chama cha ODM kitapoteza kiti hicho cha ubunge
Kinara wa chama cha ODM Raila Odinga amewataka wafuasi wake eneo bunge la Kibra kuhakikisha wamekuwa pesa za wagombea wengine lakini kura wamtilie Imran Okoth.
Okoth wa ODM anamenyana na McDonald Mariga wa ANC pamoja na Eliud Owalo wa ANC.