BlogPaper

Mwanahabari wa Tanzania atekwa nyara, polisi wadaiwa kuhusika

- Kisa cha kutekwa nyara kwa mwanahabari huyo kilitokea jioni ya Jumatatu, Julai 29, wakati mwanahabari huyo alipokuwa nyumbani kwake na mke wake - Katika uvamizi huo, watu hao waliharbu vitu kadhaa vikiwamo simu na hatimaye kumbamiza kwenye gari lililokuwa likisubiri nje - Kazi ya Kabendera huchapishwa katika magazeti na majarida ya ukanda huu na vilevile kimataifa ila haijafahamika ni kwa nini alitekwa Familia ya mwanahaari huru nchini Tanzania Erick Kabendera imepatwa na mshtuko mkubwa baada ya watu wasiojulikana kuvamia boma lao na kumchukua kwa nguvu.

Nigerian Airforce Confirms Military Plane Crash In Kaduna, Keeps Mum On Attahiru's Death

The Nigerian Air Force (NAF) has confirmed the crash of a military plane on Friday at the Kaduna International Airport. Confirming the crash, the NAF Director of Public Relations and Information, Air Commodore Edward Gabkwet said the immediate cause of the crash is still being ascertained but promised to release more details soon. As previously reported by Naija News, the Chief of Army Staff, Lt-Gen Ibrahim Attahiru is believed to have died in the plane crash.

Spika Lusaka ajiuzulu, Seneta Kipchumba Murkomen asema

- Murkomen alimkosoa Spika Ken Lusaka na kusema ameshindwa kulinda uhuru wa seneti - Seneta huyo alimtaka ajiuzulu ili nafasi hiyo ichukuliwe na mtu atayesimama kidete dhidi ya presha kutoka kwingineko - Alidai Spika huyo hupokea simu kutoka wakuu fulani kabla ya kufanya maamuzi ya mijadala bungeni Aliyekuwa kiongozi wa wengi bungeni seneti Kipchumba Murkomen amemtaka Spika Ken Lusaka kujiuzulu. Akiongea Jumatatu, Juni 15 kwenye mahojiano na Redio Citizen, Murkomen alisema Lusaka ameshindwa kutetea uhuru wa seneti na kwa hivyo anafaa kujiondoa.

The Kid Laroi Just Slammed Ex-Manager Scooter Braun

Is Scooter Braun a Bad Manager? The Kid Laroi Just Dissed Him on TikTokBy Kelly CorbettPublished April 14 2022, 4:31 p.m. ET Source: Getty ImagesIt looks like "Stay" crooner The Kid Laroi didn’t actually want to stay — with manager Scooter Braun, that is. The Australian rapper, whose real name is Charlton Kenneth Jeffrey Howard, recently shared a TikTok that took a dig at the music executive. Yikes! What did The Kid Laroi say in his video, and more importantly, what did Scooter do to him?